Monday, March 21, 2011

HABARI KWA UFUPI WAFANYAKAZI WA KIWANDA CHA TUMBAKO MOROGORO WAFANYA KAZI KUBWA MSHAHARA MDOGO

Wanyakazi wa kiwanda cha tumbako mkoani morogoro wanaomba uongozi wa juu wa serikali kwenda kiwandani hapo,kusikia kilio cha wafanya kazi hao wanavyo fanya kazi kubwa lakini mshahara mdogo.kulingana na mfumuko wa bei ulivyo sasa.


Wanasema kuwa mshahara wanao pewa haufanani na kazi wanayo fanya.wanasema kuwa  kwa mwezi wanalipwa shilingi 87,000 tu.wakati tumabku ina matatizo mengi kiafya,walisema kuwa tumbaku ina sumu,lakini kutokana na ukosefu wa ajira ya kuaminika wameamua kufanya kazi kiwandani hapo.


Wanasema wanaomba Rais au Waziri mkuu kwenda kusikia kilio chao cha muda mrefu,kwani shilingi 87,000 ni kima kilicho pitwa na wakati, kwani mshahara wanao pata haulingani hata na mshahara wa kima cha chini serikalini

No comments:

Post a Comment