Saturday, March 19, 2011

JUMA MOSI YA LEO NA MATUKIO YA MAISHAAAA! WAZEEWETU WALIVYOISHI HADI LEO WAKO IMARA KABISA.

WAZEE wetu sijui walikuwa wanakula vyakula gani hapo zamani,Huyo mzee aliyeshika Bibilia ni mzee Dickson Bilali mkazi wa Mbalizi Mbeya tanzania umri ni zaidi ya miaka 80 lakini anasoma Bibilia na vipeperushi ya Yehova bila kuvaa miwani.na Creem bibilia na maandishi mengine.Mzee Bilal ni Baba mkwe wangu.


Mzee wa pili ni Mwinjilisti wa Mahsahidi wa Yehova Mzee Mwakasege wa Kanisa la Balizi,alimtembelea mzee Bilali nyumbani kwake kumtaka hali.Lakini cha ajabu siku hizi mtoto wa miaka 9 anavaa miwani ya kusomea Je hiyo ndiyo afya ya siku hizi za utanda wizi?.

No comments:

Post a Comment