Saturday, March 19, 2011

MAPROFESA WAKIANDIKA VITABU VYA ZIADA NA KIADA WIZARA YA ELIMU IVINUNUE

Rais Jakaya Kikwete  amewaomba wanataaluma,Maprofesa kutumia elimu yao kuandika vitabu vya ziada na kiada kwa shule za sekondari na za msingi ambako kuna uhaba mkubwa wa vitabu hivyo.

Niwa wajibu wa Wizara ya Elimu kuhakikisha vitabu hivyo vikiandikwa wizara ivinunue na kuvisambaza katika shule zake.Maprofesa wanacho sita labda ni ukosefu wa soko la kuuzia vitabu vyao maana kazi ni kubwa.Rais alisema hayo wakati alipofanya ziara makao makuu ya wizara ya elimu Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment