Wednesday, March 9, 2011

HABARI KWA UFUPI WANAWAKE NCHINI UGANDA WANAFURAHA BILA KUPIGWA NA WAUME ZAO

Wakati  Dunia iliazimisha siku ya    wanawake kupinga unyanyasaji wa kijinsia,kukataa mifumo dume,lakini wanawake nchini Uganda wao hawana raha kama hawatapigwa na waume zao. Wanawake hao wanadai kuwa iwapo mme hatampiga mkewe,tena hata kuma kumtoa damu kwa kitu chenye ncha kali,wanadai kuwa wanaume kama hao si wanaume kamili.

No comments:

Post a Comment