Sunday, March 20, 2011

NUANDA ZA JUU KUSINI NA KUSINI NDIYO MAZAO YA MAHINDI YAKO NAMNA HIIIIIIIIII

Hilo ni shamba la mahindi mkoani Iringa,Mbeya yako hivyo,Rukwa hivyo hivyo na Ruvuma ni vivyo hivyo,Serikali inaombwa kuwapa uwezo wakulima  katika pembejeo za kilimo ili mikoa hiyo iweze kuzalisha na ziada kwa ajili ya chakula cha wananchi wandani nawa nje.

No comments:

Post a Comment