Tuesday, March 22, 2011

HABARI KWA UFUPI MAWAZIRI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WATIA SAINI UJENZI WA RELI

Mawaziri wa ujenzi kutoka nchi 3 za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki Tanzania,Burundi na Rwanda wametia saini ya ujenzi wa reli ya pamoja ya Jumuiya hiyo.

No comments:

Post a Comment