Sunday, March 13, 2011

HABARI KWA UFUPI, SERIKALI YAMRUHUSU MCHUNGAJI LOLIONDO KUTIBIA WAGONJWA

Hatimaye serikali imemruhusu mchungaji Ambilikile Asapwile kuendelea kutoa huduma ya matibabu,baada ya kusimamishwa hapo awali na Wizara ya Afya na Ustwi wa Jamii.

No comments:

Post a Comment