Wednesday, March 16, 2011

Mazingira siyo rafiki mashuleni yanachangia kushuka kwa elimu

Hayo ni maoni ya taarifa ya mjumbe Bw.Joramu Mwaipopo wa kituo cha uchapaji  Kanda ya Kusini wa Tathmin ya Elimu ya Mkoa wa Ruvuma iliyofanyika Peramiho.Alisema katika kikundi chao wamebaini mapungufu mengi yanayochangia kushuka kwa elimu,yakiwemo,nyufa katika baadhi ya madarasa,madawati haba.

Aidha Bw.Mwaipopo katoa rai kwa wadau wa elimu hao kuwa wakitumie kituo cha uchapaji kwa kuchapisha mitihani ya Mock ya darasa la saba,kidato cha pili,tatu,nne na sita.

No comments:

Post a Comment