Thursday, March 3, 2011

UBUNIFU WA VIJANA MJINI MOROGORO DUKA KATIKA BAISKELI

Wakati vijana wakihangaika namna ya kujikwamua kiuchumi baada ya kukosa ajira ya kuajiriwa katika ofisi mbalimbali ndani ya Serikali au katika taasisi binafsi,kijana huyu amebuni duka lake kwenye baiskeli yake ,ni machinga wa aina yake wa kuuza bidhaa hizo kwa ubunifu aliyotumia,kamera yetu ilimpata katika Standi ya mabasi mjini Morogoro.

No comments:

Post a Comment