Thursday, March 17, 2011

LOLIONDOOOO NA BARABARA ZINAKWAMISHA MAGARI YA WAGONJWA

 Hilo ni moja ya magari yanayo kodiwa na wagonjwa kwenda Loliondo kwa babu kutibiwa,unapewa kikombe kimoja tu kwa imani yako unapona.Babu anasema dawa hiyo ni ya kutibia na siyo ya kukinga.watu wote hao unaowaona wamesha kunywa dawa wako tayari kurudi kwao ila mvua ndiyo inaleta patashika.
Hawa ni wagonjwa ambao wamesha pata tiba,ila wanaomba serikali kuweka miundombinu ya barabara kuwa mizuri kwani walipata shida sana ya gari lao kukwama kwnye matope kwa ajili ya mvua zinazoendelea kunyesha kipindi hiki.

No comments:

Post a Comment