Monday, March 14, 2011

MBINU YA KUBORESHA ELIMU MTWARA YAFANIKIWA

Mkoa wa Mtwara umebuni mbinu ya kuboresha elimu kwa makato ya zao la korosho kwa wakulima,kwa mujibu wa taarifa ya Tathmini ya elimu RCC mkoani humo ,imesema kuwa wananchi wamehasika sana katika kuchangia elimu kupitia makato ya zao la korosho.

Hongera wananchi wa Mtwara,na wengine waige mfano huo katika kuboresha elimu katika mikoa ,wilaya zao.


No comments:

Post a Comment