KARIBU TANZANIA KUJIONEA MAAJABU YA DUNIA KATIKA MBUGA ZETU, VIVUTIO MBALILMBALI KATIKA MAKUMBUSHO YETU.KARIBU KUSINI MWA TANZANIA
Sunday, March 20, 2011
DAGAAAAAAAA MWANZA NIMBOGA YA CHAPCHAP MKOANI RUVUMA NA NA MIKOA MINGINE TANZANIA
MAZIWA ya Tanganyika,Victoria Nyasa nchini Tanzania ni maarufu sana kwa dagaa ambao wanapendwa sana na wanachi wake,Jumapili ya leo Blog hii imelikuta lori likipakua dagaa kutoka Mwanza Viwa VictoriaHapa mjini Songea.
No comments:
Post a Comment