Sunday, March 20, 2011

DAGAAAAAAAA MWANZA NIMBOGA YA CHAPCHAP MKOANI RUVUMA NA NA MIKOA MINGINE TANZANIA

MAZIWA  ya Tanganyika,Victoria Nyasa nchini Tanzania ni maarufu sana kwa dagaa ambao wanapendwa sana na wanachi wake,Jumapili ya leo Blog hii imelikuta lori likipakua dagaa kutoka Mwanza Viwa Victoria Hapa mjini Songea.

No comments:

Post a Comment