Monday, March 7, 2011

HABARI KWA UFUPI VIBANDA KATIKA MAENEO YA BARABARA VISIBOMOLEWE - PINDA

 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Mizengo Pinda alisema kuwa Mheshimiwa Magufuli asitishe wito wake wa kubomoa vibanda  vilivyoko katika maeneo ya barabara.

No comments:

Post a Comment