Thursday, March 17, 2011

WAGENI WATEMBELEA TUJIFUNZE KUTOKA CHUO KIKUU DODOMA (UDOM)

 Wageni wanaonyeshwa Blog ya TUJIFUNZE
Tujifunze imepata bahati ya kutembelewa na wageni kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma UDOM wa Idara ya Kiswahili Chuoni hapo.Wa katikati mwenye shati la maua ni Bwana Athumani S. Ponera wa Idara ya Kiswahili Dodoma,anaye mfuatia mwenye tai ni Bwana Isdory V. Nyoni mwenyeji wa Songea aliyeambatana naye na aliyekaa ni mwenyeji wa Tujifunzi Mhariri wa TUJIFUNZE Bwana Christian Sikapundwa.

Lengo ni kuja kuandaa mazingira ya kuwaleta wanachuo wao kwenye mafunzo ya uandishi na uhariri wa habari,vitabu na namna ya kutumia mitandao katika  habari.kama vile New Media Through Internet mf.Blogs,Facebook Twiter na mengine mengi watapata katika muda watako kuwepo hapa.

No comments:

Post a Comment