Thursday, March 3, 2011

HABARI KWA UFUPI CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI MKOANI DODOMA KITOA SHILINGI 100,000 KUCHANGIA WALIOADHIRIKA NA MABOMU GONGO LA MBOTO

Kufuatia milipuko ya mabomu Gongo la Mboto Jijini Dares salaam kuleta madhara kwa wananchi kwa kupoteza maisha yao na wengine majeruhi na uharibifu wa mali kadhaa hivi karibuni,Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Dodoma wametoa shilingi 100,000 kwa ajili ya kusaidia waathirika wa tukio hilo la kutisha.

Kufuatia tukio hilo bado wananchi wanahitajika kutoa misaada zaidi kwa wahanga hao,huko Gongo la Mboto jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment