Thursday, March 17, 2011

HABARI KWA UFUPI !!! BABU MCHUNGAJI LOLIONDO AONDOA HOFU WAGONJWA

LOLIONDO Arusha Tanzania,Mchungaji Asapwile ( Babu )
 anayetibu magonjwa sugu yaliyoshindikana Hospitalini,aondoa hofu kwa wagonjwa kuwa dawa ipo ya kutosha kwa watu wa ndani ya nchi na Nje ya nchi.

Aidha anasema kuwa mvua zinazoendelea kunyesha ndizo zinazo fanya wagonjwa wakose raha wanapo safiri kwani magari mengi yanakwama kutokana na barabara kuwa mbaya.

No comments:

Post a Comment