Monday, March 14, 2011

HABARI KWA UFUPI !!! TETEMEKO LA ARDHI LAATHIRI UZALISHAJI

Imeripotiwa kuwa, upatikanaji wa chakula na mafuta kwa ajili ya matumizi katika mji wa Sendai nchini Japan umeanza kuwa mgumu baada ya tetemeko la ardhi kuathiri uzalishaji.

No comments:

Post a Comment