Thursday, March 17, 2011

BREAKING NEWS ! ! RAIS JAKAYA KIKWETE ATEMBELEA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Kikwete asema kuwa waomi wandike vitabu vya kiada na ziada vitakavyo tumika katika shule nchini,Pia kusisitiza matumizi ya mfinzo kwa kutumia Internete ambapo somo litafundishwa wakati mmoja katika shule mbalimbali.Alisema hayo alipokuwa akiongea na wafanya kazi wa Wizara hiyo Jijini Dar
es salaam.



Wakati huohuo Rais amewataka wawekezaji wa kimataifa kuwekeza kwenye ujenzi wa reli.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt Shukuru Kawambwa alimweleza Rais kikwete kuwa idadi ya watu wazima wasio jua kusoma,kuandika na kuhesabu inazidi kuongezeka.na kueleza mikakati mbalimbali ya kuweka mazingira ya elimu kuwa mazuri.


No comments:

Post a Comment