Monday, March 21, 2011

WAANDISHI NA WANATAALUMA WA HABARI RUVUMA HAWAUTAMBUI UONGOZI WA KIHUNI WA PRESS CLUB

 Mwenekiti wa Ruvuma Press Bwana Juma Nyumaya,leo ameweleza wandishi wa habari na wanataaluma wa habari kuwa yeye hana haja ya kugombania uongozi,ila kilicho takiwa ni taratibu katika kuchukua madaraka walio taka.Nyumayo alisikitika sana kwa kitendo kilicho fanywa na katibu mkuu wake wa Press club hiyo.



Aidha alisema yeye hajaajiriwa na Press club bali yeye ni afisa wa serikali ameajiriwa huko,sasa kwa nini wanamchafua? aliuliza,hivyo wao ni wasafi kiasi gani mapaka kuchuka hatu ya kupblish kwenye vyombo vya habari,kupeleka kesi polisi,kulikuwa na haraka gani,Ulikuwa ni uongozi huo tu ama kuna jambo.
 Baadhi ya wajumbe walichangia na kutafuta ufumbuzi wa mtafaruku huo,wote wamekubaliana kutoutambua uongozi huo wa watu walioshindwa kwenye udiwani.Bwana Stevin Mango yeye alichangia kuwa mkutano ufanyike tarehe 9/4/2011.

 Mwandishi mkongwe Bwana Komba Lipuka alisema jambo lililotokea ni jambo la aibu na la kihuni,maana haiwezekani waandishi wenyewe kwa wenyewe hawa aminiani je watu wengine watawaamini?
Bwana Adam Nindi mwandishi wa Star TV yeye alijaribu kusoma katuba ya nchi,na jinsi walivyo kratibu ziosea hao walifanya mapinduzi kwa kuwa walikuwa hawajui katiba ya nchi na katiba ya Club inasemaje kuhusu kiongoziakikose,



Wanachama na wanataaluma wa tasnia ya habari wa Press Club Ruvuma leo wamakataa kuwa katika uongozi wa kihuni ulifanywa na baadhi ya wanachama wa club hiyo kwa maslahi yao.kwa madai kuwa hawamtambui mwenyekiti wa Club hiyo Bwana Juma Nyumayo aliyechaguliwa kihalali.

Wamesema wao kama wana taaluma wa habari waliofundishwa maadili na miiko ya tasnia ya habari hawawezi kuongozwa na watu walioshindwa kwenye kinyang’anyiro cha udiwani na kukimbilia kwnye habari,kwani si chama cha waandishi wa habari bali chama cha wanasiasa waliotemwa na wananchi kwenye kata zao.

Hivyo chama cha madereva wa daladala mwenye kiti wao lazima awe dereva wa daladala na sio tingo,toka lini tingo alimwongozo dereva?.basi ni sawa na viongozi walioupindua uongozi wa Press club hiyo wakati yeye hayupo.

Aidha walisema mkutano mkuu utakuwa tarehe 9/4/2011 ambapo bwana Nyumayo atawakabidhi vifaa vya press ambavyo vinawafanya wakose raha,ila wale waandishi hawatakuwepo katika uongozi huo wa wanasiasa,wajiendeshe wenyewe tuone vipofu kwa vipofu wajionyeshe njia ya kupita.

Kibaya zaidi kilicho wakera waandishi hao ni Hatua ya taasisiya serikali ya chombo cha habari kutangaza habari za mwenye kiti huyo na kutaja tuhuma lukuki,bila ya kupata maelezo ya mtuhumiwa hayo, je hayo ndiyo maadili ya TBC.Kusema kuwa ni mbadhilifu,utawala wa mbavu,ikigundulika kuwa ni uzushi, akienda kukishitaki chombo hicho kwa kumchafulia jina lake,utu wake watakuwa tayari kujibia?

Ukweli hata waandishi wanashindwa kupata jibu,ni kweli Nyumayo alikuwa na uongozi wa kumabavu,au kuna kitu kinaenda chini kwa chini kati yake na hao wanao mwandama,maana licha ya kumchafua pia imemwathirika kisaikolojia.

No comments:

Post a Comment