Friday, March 25, 2011

KUUNDA KAMATI YA SEND OFF YA JESCA PAULO CHEMBELE SONGEA LEO

 leo ilikuwa ni siku ya hatua ya kwanza ya Bi Jesca Paulo Chembele ya kuunda kamati ya sherehe yake ya kumwaga.( Send Off) .Bwana Gaston na Bibi Chembele mwenye miwani na mama wa Bwana Gaston Chembele wa Namatui Songea wamewaalima wahisani wa kuwaunga mkono shughuli hiyo mhimu itakayo fanyika tarehe 23/6/2011.
 Hiyo ndiyo kamati tendaji ya sherehe hizo yenye viongozi watato akiwemo mwenye kiti,makamo mwenye kiti,katibu,makamo katibu na mweke hazina.katika ukumbi maarufu mjini hapa wa Songea Club.
Hawa ni wahisani waliokuja kuiunga mkono Familia ya Bwana na Bibi Gston Chembele wa Namatui Songea katika sherehe ya binti yao Mpendwa Jesca Paulo Chembele.Asilimia kubwa ya wahisani hao ni walimu.

No comments:

Post a Comment