Wednesday, March 16, 2011

KIDATO CHA TANOOOOOO, MAJINA WAZIRI AYATANGAZA LEO

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prf.Shukuru Kawambwa leo amatangaza majina ya wanafunzi watakaojiunga na kidato cha tano mwaka huu.

Waziri amesema mwaka huu kiwango cha kuingia kidato cha tano na watakao jiunga na vyuo vya ufundi imeongezeka,waliochukua sayansi,pia wamaeongezeka wakiwemo wasicha.waliokuwa wengi katika masomo ya sayansi jamii

No comments:

Post a Comment