Monday, March 14, 2011

HABARI KWA UFUPI ! ! ! MKOA WA RUVUMA WAFANYA TATHIMINI YA ELIMU KWA SIKU TATU

Mkoa wa Ruvuma umefanya tathimini ya elimu kufuatia kufanya vibaya katika mtihani wa darasa la saba na kidato cha nne mwaka jana.

Tathmini hiyo ilifuatia na ziara katika shule za msingi na sekondari,kuangalia mazingira ya kutolea elimu,majengo ya shulie,madawati na walimu  waliopo katika shule hizo.


No comments:

Post a Comment