Wednesday, March 2, 2011

MAWELE AU UWELE NI ZAO MOJAWAPO KATIKA MKOA WA DODOMA BLOGU HII LEO IMEUSHUHUDIA ULIVYO STAWI

Uwele ni zao linalo stawi maeneo yenye mvua kiasi au maeneo yenye ukame,Mkoa wa Dodoma ni mkoa wenye kustawi kila aina ya mimea ya chakula,yakiwemo mahindi tatizo mvua hunyesha na kuondoka,na kuyaacha mahindi bado kukomaa.

Ila mwaka mvua ikiwa nzuri mavuno yake si ya mchezo kama ilivyo Kibaigwa,Kongwa,Mpwapwa.Kongwa ndiyo inayotoa mazao ya mahindi kwa wingi na kuyapeleka Dar es salaam na nje ya nchi.

No comments:

Post a Comment