Thursday, March 3, 2011

MAMBO YA MAKAO MAKUU DODOMA KABLA YA KUINGIA STANDI YA DODOMA ,UTAPOKELEWA NA KEEP LEFT UKITOKEA DAR ES SALAAM

Ukitokea Kisasa katika Manispaa ya Dodoma kuelekea CBE,Jengo la Bunge utakutana na keep left hiyo ya kuvutia kwelikweli.kama unatokea Dar es salaam,unakaribishwa Makao Makuu Dodoma.hiyo kati ya keep left 4 zilizopo katika manispaa hii.

No comments:

Post a Comment