Thursday, May 31, 2012

MTOTO ACHOMWA MIKONO YAKE MOTO NA MAMA YAKE WILAYANI KILWA KWA WIZI WA BOGA,MAMA AONYA WANAWAKE WENZAKE WASIWE WAKATILI KAMA ALIVYO MFANYIA MTOTO WAKE

Mtoto huyo ambaye jina lake halikupatikana katika Blog hii kama anavyoonekana kwenye picha hafifu lakini mikono yake inaonekana ilivyo fungwa bandeji,ni mkasa aliyoupata kutokana na kuiba boga aliloliweka mama yake mzazi kuliiba ndipo alipochomwa moto mikono yake.Mama yake akamficha ndani huko wilayani Kilwa Mkoani Lindi.
Ni ukatili wa aina yake wa kumchoma mtoto mikono kwa moto ati kaiba boga kweli huo ni uungwana ? kwa wanawake ambao ni mama zetu ?.Kilema ambacho hata kisahau cha kuchomwa na mama yake moto eti kaiba boga,itamwingia akilini kweli.Sasa wana Blog wenzangu hebu tulipembue kwa undani tukio hilo.



No comments:

Post a Comment