Thursday, May 24, 2012

EASY TECH. COMPUTER TRAINIG CENTRE SONGEA - RUVUMA TANZANIA ' NDIYO JIBU KWA MATUMIZI YA MITANDAO YA INTERNET'

Mkurugenzi wa Easy Tech Bw.Peter Mpelesoka anasema kuwa hakuna jibu zaidi la mtu kutumia mitandao ya Internet bila kupitia katika mafunzo ya awali ya computer,Alisema kuwa chuo hicho kinachukua wanafunzi wa vyuo mbalimbali ambao walikuwa hawana knowledge ya computer aidha wafanyakazi katika ofisi ambazo hazina ama zina computer alipenda kuzitumia.
Alisema pamoja na kujifunza Programme mbalimbali lakini pia wanajifunza na matumizi ya Internet jambo ambalo katika kipindi hiki cha Sayansi na Teknolojia ni vyema watu waelewe matumizi ya mitandao hiyo maana Dunia imekuwa kama kijiji.Chuo kipo Ok Hotel mkabala na Bekari ya mikate ,ukiingia Mjini Songea Uliza Easy Tech Computer Training Centre  watakuelekeza.

No comments:

Post a Comment