Monday, May 28, 2012

Haya bado hayaja malizika kusombwa kwenye ghala la chakula la Taifa Ruhuwiko Songea ,na mengine yanavunwa sasa.kazi kwa walaji.

Shehena ya magunia ya mahindi ya zamani ambayo bado yanasombwa ,lakini pia wakulima wameanza kuvuna mahindi mapya katika Mkoa huo wa Ruvuma.Ni kazi kweli kwa walaji.

No comments:

Post a Comment