Tuesday, May 29, 2012

KILWA KISIWANI NA SONGOMNARA IMEWEKWA KWENYE URITHI WA DUNIA,BW.JUMA NYUMAYO MWANDISHI WA HABARI NA MHARIRI WA MAGAZETI YA KANDA TUJIFUNZE KUSINI ANASOMA KIVUKONI KWENDA KISIWANI

Bw.Juma Nyumayo aliyeshika kibao kilicho andikwa UNESCO- HIFADHI YA URITHI WA DUNIA,Kilwa Kisiwani na Songo Mnara,kibao kilichowekwa kabla ya kupanda maboti kwenda Kilwa Kisiwani ambako kuna majengo ya kihistoria na ustaarabu wa Kiarabu na Masultani na Ngome ya Wareno.
 Huyo ni mfanya kazi katika kivuko hicho ambaye kazi yake ni kutambulisha wageni/watalii wanaokwenda Kisiwani huko kuona mabaki ya majengo misikiti iliyojengwa enzi za biashara za waarabu zikiwemo za watumwa,pembe za ndovu.
UNESCO ndiyo wanaosaidia kufanya majengo yaliyoachwa yawe katika hali ya kuvutia na kupendeza .Tuna vivutio vingi pwani ya kusini mwa Tanzania.

No comments:

Post a Comment