Tuesday, May 29, 2012

MADWA YA KULEVYWA NAYO NI HATARIII,BW,JUMA NYUMAYO ANAWAHOJI VIJANA WANAOTUMIA MADAWA HAYO KILWA KIVINJE

Hao vijana walioketi wanatumia madawa ya kulevywa wa Kilwa Kivinje lugha wanayozungumza ni ya ina yake .Mhariri  Msaidizi wa magazeti ya Kisomo vjijini Kanda ya Kusini Bw. Juma Nyumayo  mwenye suluali nyeusi anawahoji vijana hao,kwa nini wanatumia madawa hayo.wanadai kuwa hawana kazi ya kufanya,hivyo wakiyatumia madawa hayo wanakuwa bomba.
   Hivyo kwa hali hiyo tutawafikisha wapi vijana wetu ? ukweli ukiwaona vijana hao utawahurumia,wamekuwa kama mazezeta,tahira hivi.maana wanamawazo ya mbali sana,kwamba meli wana uwezo nazo katika kuzamia.

No comments:

Post a Comment