Thursday, May 17, 2012

MKUU WA MKOA WA RUVUMA SAID THABIT MWAMBUNGU AAPISHA WAKUU WAWILAYA WATANO ( 5 ) LEO AKIANZA NA MKUU WA WILAYA YA NYASA

 Mkuu wa Wilaya mpya ya Nyasa  Ernest N Kahindi alianza kuapa
 Akafuatiwa na mkuu wa wilaya ya Namtumbo Abdul Suliman Lutavi
 Akaja Mkuu wa Wilaya ya Songea Joseph josehp Mkirikiti
 Baadaye akaapa mkuu wa wilaya ya Mbinga Senyi Simon Ngaga
Hatimaye mkuu wa wilaya ya Tunduru Chande Bakari Nalicho ,akafunga dimba.wakuu hao baada ya kuapa na kusaini walikabidhiwa vifaa vya kufanyika kazi na Mkuu wa mkoa mhe.Said Thabit Mwambungu,walipewa katiba ya nchi na Ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM ndiyo imewapeleka pale walipo leo

Wameapa na kuahidi kuwa watakuwa waaminifu na kutekeleza kanuni za katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

No comments:

Post a Comment