Wednesday, May 2, 2012

BAADA YA MAJADILIANO WAWAKILISHI WALISOMA HOJA NA UTEKELEZAJI WAKE KATIKA KILA HALMASHAURI

 Waliyowakilisha hoja huyo ni mwaalimu Luya Ngonyani ( Katibu CWT Mkoa ) amewakilisha Tunduru
 Wapili ni Bwana Idd Alimbe Mponda DAS Mbunga ,aliwakilisha Mbinga
 Mkaguzi mkuu wa shule Wilaya ya Namtumbo Bibi Sekela Mwamwezi ,amewakilisha Namtumbo.
Bi.Enea Mpogole afisa elimu Vielelezo Songea Vijijini aliwakilisha Manispaa na Songea Vijijini
Mafunzo hayo yalikuwa mazuri na ya msingi kwa matarajio ya kuondoa kkk kwa wanafunzi wanao maliza elimu ya msingi bila kuwa na stadi za kusoma,kuandika na kuhesabu.

No comments:

Post a Comment