Tuesday, May 1, 2012

MEI MOSI 2012,NI MISHAHARA DUNI,KODI KUBWA NA MFUMUKO WA BEI NI PIGO KWA MFANYAKAZI .LAKINI..........SONGEA MKOA WA RUVUMA UWANJANI SIKU HIYO KULIKUWA HIVI.

 Madaktari wa hospitali ya Mkoa Ruvuma Songea wakipitambele ya jukwaa wakiwa wanafanya upasuaji kwa mgonjwa siku ya Mei Mosi 2012 ,mbele ya mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa Said Thabit Mwambungu
 katibu wa Chama cha TALGWU Bibi Pili Maganga uwanja wa majimaji Songea Mei Mosi 2012
 kikundi cha Jakaya cha lizombe kutoka Lizaboni Manispaa ya Songea wakitumbuiza Mei Mosi Uwanja wa majimaji jana.
 Dr.Broady Komba mjumbe wa baraza la TALGWA Taifa kwenye uwanja wa majimaji kuadhimisha Mei Mosi 2012 Mjini Songea Jana.
 Bi Theodosia Kasapira Katibu wa CWT Manispaa ya Songea katika uwanja wa majimaji jana ,Mei Mosi ,lakini wa walimu wa Manispaa hiyo wamezawadiwa Tshs.40,000 na cheti kama wafanya kazi bora.inatisha,mhudumu anapata Tshs.150,000 na zaidi,kweli walimu ni wito.
 Mwali Chete wa kulia akiwa na walimu wenzake katika jukwaa la majimaji akishuhudia walimu wenzake wakipata Tshs.40.000/=  kwa ufanya kazi bora na bora kufanya kazi.uwanja wa Majimaji Mei Mosi jana.
Maandamano yanapita mbele ya mgeni rasmi Mei Mosi jana Songea Mkoani Ruvuma .

No comments:

Post a Comment