Monday, May 28, 2012

Hivi ndivyo ilivyo kuwa, Askofu wa Anglican Songea alivyo wahusia wakuu wapya wa wilaya baada ya kuapishwa

Bishop/Askofu wa Anglican aliwaambia ukweli wakuu hao wa Wilaya kuwa Mungu amewateua kwenda kuhudumia jamii,kwenda kutangaza amani na utulivu katika jamii wanayoikuta,kwenda kuongeza chachu ya maendeleo ikizingatiwa kuwa Mkoa wa Ruvuma na mabungwa wa kuzalisha chakula kwa kilimo.
  Wananchi na Taifa linawategemea wao katika kuhamasisha wananchi kuleta maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.Hivi sasa wakuu hao wameunganika na wakuu wa mikoa,makatibu tawala wa mikoa kupata semina elekezi Dodoma na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Kikwete

No comments:

Post a Comment