Sunday, May 27, 2012

RAIS KIWETE ATEUA WAKUU WA WILAYA WAZAMANI 63 NA WAPYA 70 AMBAPO WAKONGWE MAJINA YAO HAYAPO



Tuna watakia uwajibikaji mwena wa kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi yetu wakishirikiana na wadau wa sekta mbalimbali watakao wakuta katika wilaya walizopangiwa ,ikiwa ni pamoja na kuhamasisha wananchi.Mkoani Ruvuma Songea Joseph Joseph Mkirikiti,Tunduru Chande BaruUcho,Namtumbo Abdulah S.Lutavi,Mbinga Senvi S.Ngaga na Nyasa ( Mpya ) Ernest N Kahindi.Karibuni sana Ruvuma.

Majina na wilaya wanayokwenda wakuu wa wilaya za zamani 63 hayo:-

WAKUU WA WILAYA WA ZAMANI NA WILAYA WANAZOKWENDA  NI HAO

NA.    JINA           WILAYA ANAYO KWENDA
1.         James K. O. Millya             Longido
2.         Mathew S. Sedoyeka          Sumbawanga
3.         Fatuma L. Kimario             Igunga
4.         Capt. (Mst.) James C. Yamungu Serengeti
5.         Lt. (Mst.) Abdallah A. Kihato       Maswa
6.         Sarah Dumba          Njombe
7.         Jowika W. Kasunga            Monduli
8.         Elizabeth C. Mkwasa         Bahi
9.         Col. Issa E. Njiku    Misenyi
10.       John B. Henjewele Tarime
11.       Elias W. Lali            Ngorongoro
12.       Raymond H. Mushi            Ilala
13.       Francis Miti             Ulanga
14.       Evarista N. Kalalu             Mufindi
15.       Mariam S. Lugaila             Misungwi
16.       Anna J. Magowa     Urambo
17.       Anatory K. Choya   Mbulu
18.       Fatma Salum Ally Chamwino
19.       Deodatus L. Kinawiro        Chunya
20.       Ibrahim W. Marwa             Nyang’hwale (mpya)
21.       Dkt. Norman A. Sigalla     Mbeya
22.       Moshi M. Chang’a   Mkalama (mpya)
23.       Jordan M. Rugimbana       Kinondoni
24.       Georgina E. Bundala         Itilima (mpya)
25.       Halima M. Kihemba           Kibaha
26.       Manzie O. Mangochie        Geita
27.       Abdula S. Lutavi     Namtumbo
28.       Zipporah L. Pangani          Bukoba
29.       Dkt. Ibrahim H. Msengi    Moshi
30.       Col. Cosmas Kayombo       Kakonko (mpya)
31.       Lembris M. Kipuyo             Muleba
32.       Elinasi A. Pallangyo          Rombo
33.       Queen M. Mlozi       Singida
34.       Juma S. Madaha     Ludewa
35.       Angelina Mabula    Butiama (mpya)
36.       Hadija H. Nyembo Uvinza (mpya)
37.       Ernest N. Kahindi Nyasa (mpya)
38.       Peter T. Kiroya        Simanjiro
39.       John V. K. Mongella           Arusha
40.       Baraka M. Konisaga          Nyamagana
41.       Husna Mwilima       Mbogwe (mpya)
42.       Sophia E. Mjema     Temeke
43.       Francis Isaac           Chemba (mpya)
44.       Abihudi M. Saideya            Momba (mpya)
45.       Khalid J. Mandia    Babati
46.       Anna Rose Nyamubi          Shinyanga
47.       Dani B. Makanga    Kasulu
48.       Amina J. Masenza Ilemela
49.       Mercy E. Silla          Mkuranga
50.       Christopher R. Kangoye    Mpwapwa
51.       Lt. Edward O. Lenga          Kalambo (mpya)
52.       Halima O. Dendego            Tanga
53.       Lephy B. Gembe      Dodoma
54.       Saidi A. Amanzi      Morogoro
55.       Jackson W. Msome             Musoma
56.       Elias C. B. Goroi      Rorya
57.       Lt. Col. Benedict Kitenga Kyerwa (mpya)
58.       Erasto Sima             Bariadi
59.       Nurdin H. Babu      Mafia
60.       Khanifa M. Karamagi        Gairo (mpya)
61.       Gishuli M. Charles             Buhigwe (mpya)
62.       Saveli M. Maketta Kaliua (mpya)
63.       Darry Rwegasira     Karagwe

MAJINA 70 NA WILAYA WANAZOKWENDA WAKUU WA WILAYA HAO WAPYA NI HAO:-

1.         Novatus Makunga Hai
2.         Mboni M. Mgaza     Mkinga
3.         Hanifa M. Selungu             Sikonge
4.         Christine S. Mndeme         Hanang
5.         Shaibu I. Ndemanga          Mwanga
6.         Chrispin T. Meela   Rungwe
7.         Dr. Nasoro Ali Hamidi       Lindi
8.         Farida S. Mgomi     Masasi
9.         Jeremba D. Munasa           Arumeru
10.       Majid Hemed Mwanga      Lushoto
11        Mrisho Gambo         Korogwe
12.       Elias C. J. Tarimo   Kilosa
13.       Alfred E. Msovella Kiteto
14.       Dkt. Leticia M. Warioba    Iringa
15.       Dkt. Michael Yunia Kadeghe       Mbozi
16.       Mrs. Karen Yunus Sengerema
17.       Hassan E. Masala   Kilombero
18.       Bituni A. Msangi    Nzega
19.       Ephraem Mfingi Mmbaga            Liwale
20.       Antony J. Mtaka     Mvomero
21.       Herman Clement Kapufi   Same
22.       Magareth Esther Malenga           Kyela
23.       Chande Bakari Nalicho     Tunduru
24.       Fatuma H. Toufiq   Manyoni
25.       Seleman Liwowa     Kilindi
26.       Josephine R. Matiro           Makete
27.       Gerald J. Guninita Kilolo
28.       Senyi S. Ngaga        Mbinga
29.       Mary Tesha Ukerewe
30.       Rodrick Mpogolo     Chato
31.       Christopher Magala           Newala
32.       Paza T. Mwamlima            Mpanda
33.       Richard Mbeho        Biharamulo
34.       Jacqueline Liana    Magu
35.       Joshua Mirumbe     Bunda
36.       Constantine J. Kanyasu    Ngara
37.       Yahya E. Nawanda            Iramba
38.       Ulega H. Abadallah            Kilwa
39.       Paul Mzindakaya   Busega (mpya)
40.       Festo Kiswaga         Nanyumbu
41.       Wilman Kapenjama Ndile            Mtwara
42.       Joseph Joseph Mkirikiti    Songea
43.       Ponsiano Nyami      Tandahimba
44.       Elibariki Immanuel Kingu           Kisarawe
45.       Suleiman O. Kumchaya    Tabora
46.       Dkt. Charles O. F. Mlingwa          Siha
47.       Manju Msambya     Ikungi (mpya)
48.       Omar S. Kwaangw’             Kondoa
49.       Venance M. Mwamoto       Kibondo
50.       Benson Mpesya       Kahama
51.       Daudi Felix Ntibenda        Karatu
52.       Ramadhani A. Maneno     Kigoma
53.       Sauda S. Mtondoo   Rufiji
54.       Gulamhusein Kifu Mbarali
55.       Esterina Kilasi        Wanging’ombe (mpya)
56.       Subira Mgalu           Muheza
57.       Martha Umbula      Kongwa
58.       Rosemary Kirigini Meatu
59.       Agness Hokororo     Ruangwa
60.       Regina Chonjo         Nachingwea
61.       Ahmed R. Kipozi     Bagamoyo
62.       Wilson Elisha Nkhambaku          Kishapu
63.       Amani K. Mwenegoha       Bukombe
64.       Hafsa M. Mtasiwa   Pangani
65.       Rosemary Staki Senyamule         Ileje
66.       Selemani Mzee Selemani Kwimba
67.       Lt. Col. Ngemela E. Lubinga       Mlele (mpya)
68.       Iddi Kimanta           Nkasi
69.       Muhingo Rweyemamu      Handeni
70.       Lucy Mayenga         Uyui



No comments:

Post a Comment