Thursday, May 24, 2012

EASY TECH. COMPUTER TRAINIBG CENTRE SONGEA - RUVUMA TANZANIA ' NI UKOMBOZI WA VINA NA WATU WAZIMA WA KUJIFUNZA COPYUTA'

 Darasa la wanafunzi wanaojifunza Computer katika Chuo hicho cha 'Easy Tech.Computer Training Centre.Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma.
Mwalimu  Ally Mamis akiwaelekeza wanafunzi wake waliyoingia mchana leo.

Wanafunzi wa Programme mbalimbali wakiwa makini katika kujifunza kwa vitendo.


Mkurugenzi wa Chuo hicho Bwana Peter Mpelesoka akiwa kwenye shughuli za' Designing' anasema ni zaidi ya wanafunzi 2,000 wamepitia katika chuo chake ambao wamefaidika mafunzo ya Computer katika hatua tofauti.

No comments:

Post a Comment