Wednesday, May 2, 2012

KWENYE CHANGAMOTO ZA ELIMU WATU TUSINYOOSHEANE VIDOLE - DKT MUSHI TET

 Dkta Paul S.D.Mushi kurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania alisema kuwa katika changamaoto za elimu watu tusinyoosheane vidole wakati akitoa mada katika mafunzo ya kazi kwa wadau wa elimu Mkoani ruvuma leo katika ukumbi wa Songea Club.zaidi mada utapata kupitia Blog hii.
Wadau wakijadili mada katika vikundi
Picha ya pamoja na wadau wa elimu Mkoani Ruvuma leo.

No comments:

Post a Comment