Sunday, May 27, 2012

Maisha in kuhangaika kila kukicha watu wnahangaika kutafuta ridhiki

 Kama hivyo foleni ya Malori yakisubiri kupakia mahindi ankuyapeleka Uganda,madereva wanakaa muda mrefu  hawaonani na familia zao yote hayo nikuhangaika kutafuata ridhiki.
Yote tisa huyo kijana anapgonga mawe katika Jiji la Mwanza ambako wameanzisha ujenzi wa barabara za mawe kutokana na uwingi wa mawe uliyopo katika Jiji hilo 'Rock City' anagonga mawe hayo kulingana na kipimo anachopewa anapata fedha za kwenda kumsaidia katika maisha yake.Maisha ni safari ndefu kila mmoja Mungu amempangia maisha yake,

No comments:

Post a Comment