Wednesday, May 2, 2012

MSANII ATHUMAN KENETH LAITI KAMA ATAPATA MUUNGWANA WA KUSAIDIA MASOMO YAKE DAR ES SALAAM ATAKUWA WA KUTUMAINIWA

 Kijana huyo anasoma Simba Theater Dar es salaam mwaka mmoja na nusu,sasa anakabiliwa na ukata wa kumalizia kozi yake ya kucheza na nyoka na sarakasi.
Kijana Mwanawane kwa jina la usanii aliburudisha umati wa watu siku ya Mei Mosi katika uwanja wa Majimaji Mjini Songea..Anaomba kupatiwa msaada huo,iwapo umeguswa kumsaidia kijana huyo namba zake za simu ni.( 0713- 843554 na 0752-994017 ) Saidia kuza kipaji cha msanii huyo.kutoa ni moyo na siyo utajiri.

No comments:

Post a Comment