Friday, May 11, 2012

JENGO LA DAWATI LA POLISI WANAWAKE KITUO CHA POLISI SONGEA MJINI,LITASAIDIA KUTOA ELIMU KWA JAMII INAYOKUBWA NA MATATIZO YA KIBINADAMU

 Jengo la Dawati la mtandao wa polisi wanawake Songea Mjini kwa mbele hadi
 Jango hilo kwa nyuma
 Kaimu  Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma George Chiposi wa kwanza kushoto.
 A/Insp.Fadhilia Marwa Chacha anasema kukamilika kwa jengo hilo kutasaidia sana kupunguza unyanyaswaji wa wanawake na watoto kwa kiasi kikubwa kwa kupata mafunzo kupitia mtandao huo.
Inspector wa Polisi na mwenyekiti wa ujenzi wa jengo hilo ,pia ni mkuu wa upelelezi wa Wilaya ya Songea Anna Tembo anasema jengo hilo mpaka kufikia hatua hiyo limeshaghalimu Tshs.milioni 10 laki tano.

No comments:

Post a Comment