Sunday, June 3, 2012

Utatu wa Roho Mtakati ni Umoja kwa imani ya Kanisa katoliki la Mitume Ilikuwa Jumapili ua jana

 Utatu Mtakatifu ni fumbo la Imani kwa waumini wa Kanisa Katoliki la Mitume,Utatu huo ni wa Baba,Mwana na Roho Mtakatifu.Ni Umoja katika Fumbo hilo Padre Otieno anasema Dunia inakubwa na jamii inayo kosa umoja ndani yao,ndiyo maana kuna matukio ya kila mara ambayo haya mpendezi Mungu.
 Hiyo ilikuwa ibada ya Kwanza katika mfululizo wa misa zinazo pangwa kila Jumapili katika Kanisa Kuu la Mathiasi Mulumba Kalemba la Jimbo kuu la Songea.
Padri huyo katika akifukiza ubani kwenye Altare Jimboni hapo jana,katika ibada ya Fumbo hilo.

No comments:

Post a Comment