Sunday, June 3, 2012

KUNA KITU KIKUBWA KATIKA NGAO YA TAIFA

Hilo ni fumbo kubwa kwa watanzania ni Nembo inayo pendeza lakini ni ya kuichunguza na kuifahamu vyema.Ikienda sambamba na Ujumbe wake 'UHURU NA UMOJA' laiti kama watu wangelewa umuhimu wa Ngao ya Taifa na fumbo lake sidhani kama kungetokea baadha ya watu kuukataa umoja,Umoja huo ndiyo unatufanya tunaitwa watanzani 'wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania' Bila ya hivyo kutakuwa na Watanganyika,Wazanzibar na waPemba,Ambao wajaa Dar au Bongo ( Bara )
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliona mbali,na akakibuni kitu ambacho kina fumbo kubwa sana ,lakini kinapendeza na kuvutia Wa - Tanzania lakini sasa kinachukuliwa kinyume na matakwa ya Mwasisi huyo.

No comments:

Post a Comment