Saturday, June 9, 2012

MKOROSHO UKITUNZWA VIZURI UNATOA MAZAO MENGI,WAKULIMA WA ZAO HILO KATIKA MIKOA YA RUVUMA,MTWARA NA LINDI WAMEHAKIKISHIWA SOKO LA UHAKIKA WA ZAO HILO

 Korosho ilipaliliwa inapendeza licha ya kuwa zao la bishara,shamba kama hilo lililoko Wilaya ya Lindi vijijini ni safi,pia hata uokotaji wa korosho zilizodondoka na rahisi,pia hata matunda yake " mabibo' wenyeji wa mikoa ya Mtwara huwa wanatengeneza pombe ya mambibo wanayoiita Uraka.
Walanguzi waliingilia soko la zao hilo kwa kasi kwa wakulima ambapo waliuuza korosho zao kwa bei ya hasara kwa sababu ya shida za wakulima wa zao hilo,lakini sasa Serikali imetoa angalizo kwa walanguzi na wakulia wapelekekorosho zao kwenye vyama vya Ushirika.

No comments:

Post a Comment