Sunday, June 3, 2012

HAPA KWETU SHEREHE NI CHAKULA'SHEREHE KULYA' MAMBO HAYO

 Msosi wa nguvu ulikuwa unapakuliwa tayari kwenda kwa kamwali Evaristi Jahazi na wapambe wake baada ya kumzawadia au kufupa.ni msosi kwelikweli .
Baadhi ya akina mama wakishuhudia tendo la kufupa na kurudisha MAJAMANDA kwa mama wa mtoto huyo ambayo yeye alikuwa akiwapa wenzake kwa shughuli kama hizo."Chama kiuyai" By Nguni People.


Mama kulia Evaristo katika na kaka Zenobius Matembo kushoto wakiwa nyumbani jana baada ya kutoka kanisani.

1 comment: