Sunday, June 17, 2012

SALAAM ZA JUMAPILI KWA WATUMIJI WA MITANDANO YA KIJAMII MATUKIO YA MKOA WA LINDI

 Kijana huyo anaonekana akiendesha naiskeli kwenye mchanga pembeni mwa bahari,ni miongoni mwa akazi wa Mji wa Lindi Jioni kubaridhi kando ya bahari wakipunda upepo.
 Lakini wanapo kuwapo wenyeji na wageni hawakosikani basi siku hiyo nami pia nilipata muda wa kwenda kwenye bandari ya Mkoa wa Lindi ambayo sikuhizi haifanyikazi kama zamani.
 Asubuhi moja baada ya kumaliza shughuli Kilwa Masoko,tulikuwa tukijiandaa kwenda kilwa Kivinje kuendelea na shughuli zetu,kama unavyo Bwana Juma Nyumayo akiwa na begi lake tayari kuelekea standi ya mabasi hapo Kilwa Masoko.
 Hiyo ndiyo madhari ya ufukwe wa Pwani ya Lindi na vivutio vya Mikoko,ambayo imeenea Pwani yote ya Mwambao mwa Bahari ya Hindi.
 Wakazi wa Kilwa Masoko,Kisiwani na hata kilwa Kivinje ni wavuvi,Bwana Juma nyumayo anaonyeshwa na mvuvi wa Kilwa Masoko samaki  katika soko lao ambaye anauzwa kwa shilingi 20 elfu.
Hapo ni shamba la kutengeneza chumvi  yenye madini ya joto.  mkoani Lindi,ni aina ya ajira wanchi hao wamejiajiri kwenye ukusanyaji wa chuchi.

1 comment: