Sunday, June 3, 2012

JANA MANISPAA YA SONGEA MKOA WA RUVUMA WATOTO WALIPATA KOMONIO YA KWANZA EVARISTO JAHAZI ALIKUWA MMOJA WAO

 Evaristo Jahazi mwanafunzi wa darasa la nne katika shule ya msingi Mwembe chai Manispaa ya Songea Jana alipata Komoni ya kwanza katika Imani ya Kanisa Katoliki la Mitume.Amependeza na amefurahi kuingia katika hatua ya pili ya Imani ya Kumkiri Kristo.
 Hapo Evaristo akiwa na kaka yake Zenobius Matembo baada ya lutoka kanisani jana katika kanisa dogo la Matarawe Songea ambapo alipopatia Sakramenti hiyo ya kwanza.







Hapo ametulia  Bwana Evaristo.

No comments:

Post a Comment