Friday, June 29, 2012

BWANA JORAMU MWAIPOPO AMSHUKURU MUNGU KWA KUMWEZESHA KULITUMIKIA TAIFA KATIKA UTUMISHI WA UMMA KATIKA KITUO CHA MAGAZETI VIJIJINI KANDA YA KUSINI SONGEA

 Bwana Joram Mwaipopo mwenye bluu suti akipeana mkono na Mkuu wa Kituo kanda ya Kusini Bwana Christian Skapundwa mwenye suti rangi ya maziwa ,wa kuagana baada ya kutumikia Taifa na kufikia mwisho wa utumishi wake.
 Hapo apeana mkono wa kwaheri na mfanya kazi mwenzake Bwana John Mponda mwenye shati leupe.
 Bwana Mwaipopo apeana mkono wa kwaheri na Mkuu msaidizi wa Kituo Bwana Juma Nyumayo kwenye ofisi ya Kanda ya Kusini hapo jana,ambapo leo tarehe 30/6/2012 anastaafu kazi kwa lazima.k
 Apeana mkono wa kwaheri na mfanyakazi mwenzake Bibi Ikofu Tusekile mwenye suti nyeusi,akiwa mwenyumishi wengine tabasamu kuonyesha aliishi vizuri na watumishi wengine.
Picha ya pamoja na watumishi wa kituo hicho,Kwa umoja wao wamemtakia bwana Mwaipopo maisha mema katika kuanza maisha mapywa ya uraiani.Kwani kila mtumishi wa kada yeyote iko siku ataacha kazi.
Hii ina maana hakuna atakayedumu kazini maisha yake yote,bali itamlazimu aondoke awapishe wengine.Tinamtakia maisha mapya aendako.

No comments:

Post a Comment