Monday, January 31, 2011

BREAKING NEWS,!!!!! PROFESA TIBAIJUKA AJA NA KALI ZIFUATAZO..

Profesa Anna Tibaijuka Waziri wa Ardhi Nyumba na makazi ,aja na zifuatazo:
  • Atakaye hamisha mawe (Bi cons)  ya mipaka ya kiwanja atakwenda jela miezi 6.
  • Askari wa Ardhi nyuma na makazi watafanya kazi hiyo ya kubaini uhalifua huo wa kuhamisha mawe Bi cons ) ya mipaka kwa tamaa ya kuongeza kiwanja.
  • kila mwananchi anahaki ya kupata Hati ya Ardhi kwa kufuata sheria bila njia za mkato (short cuts)
  • Maafisa ardhi wafanye kazi zao kwa kufuata sheria bila kukomoana.

No comments:

Post a Comment