Friday, January 28, 2011

NOTI MPYA ZA ZUA MJADALA MITAANI NA MASWALI MENGI NA MABISHANO

Hiyo ni baadhi ya Noti mpya zilizotolewa na  Benki kuu Tanzania ya Shilingi elfu 5 ( 5,000 ),na nyingine za shilingi elf moja ( 1,000 ) ,mbili ( 2,000 ) na Elfu kumi ( 10,000 ).Unajua ni nini kinasababisha mijadala na mabishaono kati ya watumiaji sokoni,dukani,na kwa wadau mbalimbali.

Watumiaji wengi wamezifia sana noti mpya kwakuwa ni ndogo ( Small size ),ambazo zinafaa kukaa katika pochi,wengine wanasema ni nyepesi mno zikitumika kwa muda mrefu zitachakaa sana,wengine wanasema rangi za noti hizo ni nzuri

No comments:

Post a Comment