Tuesday, January 25, 2011

SOKO LA KITI MOTO / LIGULUWI/BEKENI/AU PORKMANISPAA YA SONGEA LAVYAMIWA NA WACHINA

Soko la nyama ya nguruwe kwa jina maarufu kiti moto au Liguluwi ama pork limevamiwa na wachina wanaojenga barabara ya Millennial  Challenge  ya kuanzia Peramiho hadi mbinga,kwani wachina hao hufika Songea na kununua nguruwe wazimawazima.

kutokana na uvamizi huo kilo moja ya kitimoto imepaa kutoka shilingi 3,500 hadi shilingi 6,000.kutokana na kupaa huko kwa bei nyama hiyo wateja wameanza kupongua wanako andaa kwa utaalamu zaidi,Makukula,Makondeko,Songea girls,Matogoro na Bombambili.

No comments:

Post a Comment