Thursday, January 13, 2011

HOSPITAL YA MKOA SONGEA INAKABILIWA NA UPUNGUFU WA MADAKTARI BINGWA


HOSPITAL ya mkoa Songea inakabiliwa na upungufu wa madaktari bingwa wa magonjwa ya kinamama na uzazi na upasuaji,watoto,( Physician ),wa magojwa ya akili,na wahuduma za mionzi.

Mganga mkuu wa hospital hiyo, Dr. Daniel Malekela,amesema hayo alipotembelewa na mwandishi wa Blog hii ofisini kwake leo hii,kuwa ni pamoja na madaktari wa kawaida wanao hitajika kulingana na taasisi hii ilivyo kubwa.

No comments:

Post a Comment